Swali 428: Je, kutokwa na damu puani kunafunguza?

Jibu: Kutokwa na damu puani hakufunguzi hata kama zitakuwa nyingi. Kwa sababu hakutokwa na damu kwa kutaka kwake mwenyewe.

  • Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 481
  • Imechapishwa: 13/05/2019