Swali 428: Je, kutokwa na damu puani kunafunguza?
Jibu: Kutokwa na damu puani hakufunguzi hata kama zitakuwa nyingi. Kwa sababu hakutokwa na damu kwa kutaka kwake mwenyewe.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 481
- Imechapishwa: 13/05/2019
Swali 428: Je, kutokwa na damu puani kunafunguza?
Jibu: Kutokwa na damu puani hakufunguzi hata kama zitakuwa nyingi. Kwa sababu hakutokwa na damu kwa kutaka kwake mwenyewe.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 481
Imechapishwa: 13/05/2019
https://firqatunnajia.com/je-kutokwa-na-damu-puani-kunafunguza/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)