Swali: Vipi mtu kuitwa jina la ´Abdus-Sayyid?
Jibu: Kuliacha ni bora zaidi kwa sababu linatatiza. Vinginevyo Sayyid (Bwana) ni katika majina ya Allaah. Kuitwa majina ya Allaah ambayo yako wazi kama mfano wa ´Abdur-Rahmaan, ´Abdul-´Aziyz, ´Abdul-Saamiy´ na ´Abdul-´Aliym ndio bora zaidi. Vinginevyo jina Sayyid halina neno, ni kama alivosema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Bwana ni Allaah (Tabaarak wa Ta´ala).”[1]
[1] Ma´rifat-us-Swahaabah (20/404) ya al-Aswbahaaniy.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 18-19
- Imechapishwa: 20/10/2021
Swali: Vipi mtu kuitwa jina la ´Abdus-Sayyid?
Jibu: Kuliacha ni bora zaidi kwa sababu linatatiza. Vinginevyo Sayyid (Bwana) ni katika majina ya Allaah. Kuitwa majina ya Allaah ambayo yako wazi kama mfano wa ´Abdur-Rahmaan, ´Abdul-´Aziyz, ´Abdul-Saamiy´ na ´Abdul-´Aliym ndio bora zaidi. Vinginevyo jina Sayyid halina neno, ni kama alivosema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Bwana ni Allaah (Tabaarak wa Ta´ala).”[1]
[1] Ma´rifat-us-Swahaabah (20/404) ya al-Aswbahaaniy.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 18-19
Imechapishwa: 20/10/2021
https://firqatunnajia.com/inafaa-kumwita-mtoto-jina-la-abdus-sayyid/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)