Ikiwa kijana yuko na uwezo wa kuoa na aoe hata kama baba na mama yake watamkatalia. Mbele yako uko na maamrisho ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambayo yanatangulizwa kabla ya maamrisho ya wazazi wawili. Upande mwingine akiwa si muweza na hana pesa na wakati huo huo baba yako akawa na pesa, ni wajibu kwa baba yako kukuozesha. Endapo atakataa anapata dhambi. Baba yako akiwa fakiri, Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amewaelekeza vijana iwapo hawana uwezo wa kuoa wafunge. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Afunge, kwani hakika ni kinga kwake.”
Kwa sababu swawm inapunguza matamanio.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (17)
- Imechapishwa: 01/12/2017
Ikiwa kijana yuko na uwezo wa kuoa na aoe hata kama baba na mama yake watamkatalia. Mbele yako uko na maamrisho ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambayo yanatangulizwa kabla ya maamrisho ya wazazi wawili. Upande mwingine akiwa si muweza na hana pesa na wakati huo huo baba yako akawa na pesa, ni wajibu kwa baba yako kukuozesha. Endapo atakataa anapata dhambi. Baba yako akiwa fakiri, Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amewaelekeza vijana iwapo hawana uwezo wa kuoa wafunge. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Afunge, kwani hakika ni kinga kwake.”
Kwa sababu swawm inapunguza matamanio.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (17)
Imechapishwa: 01/12/2017
https://firqatunnajia.com/ikiwa-kijana-yuko-na-uwezo-wa-kuoa-na-aoe-hata-kama-baba-na-mama-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)