Swali: Mtu akifanya haja yake kisha akatawadha lakini mikononi mwake kukabaki harufu ndogo pamoja na kuwa aliosha mikono yake vizuri. Ni ipi hukumu ya swalah yake?
Jibu: Ni wajibu kuosha mikono yake vizuri. Akiiosha kwa maji inatosha. Lakini bora aioshe kwa sabuni.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (07) http://dl.islamweb.net/audiopath/audio/lecturs/aalrrajhee/434/434.mp3
- Imechapishwa: 21/12/2018
Swali: Mtu akifanya haja yake kisha akatawadha lakini mikononi mwake kukabaki harufu ndogo pamoja na kuwa aliosha mikono yake vizuri. Ni ipi hukumu ya swalah yake?
Jibu: Ni wajibu kuosha mikono yake vizuri. Akiiosha kwa maji inatosha. Lakini bora aioshe kwa sabuni.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (07) http://dl.islamweb.net/audiopath/audio/lecturs/aalrrajhee/434/434.mp3
Imechapishwa: 21/12/2018
https://firqatunnajia.com/hukumu-ya-kubaki-athari-ya-najisi-baada-ya-kuiondosha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)