Swali: Picha aina zote ni haramu au video ni zenye kuvuliwa?
Jibu: Picha za masanamu ni haramu na hazijuzu. Kuhusu picha za kivuli/za kisasa, zinafaa tu wakati wa dharurah, kama vile pasipoti na kitambulisho. Picha kama hizi zinafaa wakati wa dharurah tu. Kwa sababu pasi na picha usingeweza kusafiri na vyeti vyako hivi na isitoshe manufaa yako yangelipotea. Kwa ajili ya dharurah picha zimeruhusiwa kwa sababu ya mambo haya tu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (91) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-22-7-1439.mp3
- Imechapishwa: 31/07/2018
Swali: Picha aina zote ni haramu au video ni zenye kuvuliwa?
Jibu: Picha za masanamu ni haramu na hazijuzu. Kuhusu picha za kivuli/za kisasa, zinafaa tu wakati wa dharurah, kama vile pasipoti na kitambulisho. Picha kama hizi zinafaa wakati wa dharurah tu. Kwa sababu pasi na picha usingeweza kusafiri na vyeti vyako hivi na isitoshe manufaa yako yangelipotea. Kwa ajili ya dharurah picha zimeruhusiwa kwa sababu ya mambo haya tu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (91) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-22-7-1439.mp3
Imechapishwa: 31/07/2018
https://firqatunnajia.com/hizi-tu-ndio-picha-zinazoruhusiwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)