Swali: Mwanamke akipata hedhi mwanzoni mwa [kuingia kwa] wakati. Je, wakati hedhi yake itaisha na kutwahirika atalipa swalah hii?
Jibu: Hapana, hatoilipa.
Swali: Kadhalika mwanamke akipata hedhi mwishoni mwa wakati [wa swalah] na alikuwa bado hajaswali [swalah hii]. Je, atalipa swalah hii?
Jibu: Ndio. Hili lina haki zaidi. Akichelewesha swalah mpaka mwisho wa wakati wa pili – na sio mwishoni mwa wakati wa mwanzo – akapatwa na hedhi, anatakiwa kulipa swalah mbili.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13342
- Imechapishwa: 20/09/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket