Swali: Je, ni wajibu kufanya uadilifu kati ya wake wawili inapokuja katika mapenzi?
Jibu: Hakuna yeyote awezae kufanya uadilifu kati ya wake wawili inapokuja katika mapenzi:
وَلَن تَسْتَطِيعُوا أَن تَعْدِلُوا بَيْنَ النِّسَاءِ وَلَوْ حَرَصْتُمْ
“Wala hamtoweza kufanya uadilifu kati ya wake japokuwa mtatupia.”[1]
Bi maana katika mapenzi. Mtu hawezi kufanya uadilifu katika hili. Lakini hata hivyo asimili kwa yule anayempenda juu ya wale wengine katika matumizi, mavazi na malazi. Katika haya anatakiwa kufanya uadilifu.
[1] 04:129
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
- Imechapishwa: 27/10/2017
Swali: Je, ni wajibu kufanya uadilifu kati ya wake wawili inapokuja katika mapenzi?
Jibu: Hakuna yeyote awezae kufanya uadilifu kati ya wake wawili inapokuja katika mapenzi:
وَلَن تَسْتَطِيعُوا أَن تَعْدِلُوا بَيْنَ النِّسَاءِ وَلَوْ حَرَصْتُمْ
“Wala hamtoweza kufanya uadilifu kati ya wake japokuwa mtatupia.”[1]
Bi maana katika mapenzi. Mtu hawezi kufanya uadilifu katika hili. Lakini hata hivyo asimili kwa yule anayempenda juu ya wale wengine katika matumizi, mavazi na malazi. Katika haya anatakiwa kufanya uadilifu.
[1] 04:129
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
Imechapishwa: 27/10/2017
https://firqatunnajia.com/hapa-mume-hawezi-kufanya-uadilifu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)