Swali: Mimi nina miaka thelathini. Je, inajuzu kwangu kuchelewesha hajj mpaka mwaka ujao ilihali ninaweza kuhiji hivi sasa?
Jibu: Hapana, haijuzu. Yule ambaye ana uwezo wa kufanya hajj basi ni anawajibika kuikimbilia. Kwa sababu mtu hajui anaweza kufikwa na nini. Huenda akapoteza pesa hii. Huenda akawa mgonjwa katika mustakabali. Huenda akafa. Kwa hivyo yule ambaye ana uwezo wa kufanya hajj basi ni anawajibika kuikimbilia. Haijuzu kwake akaichelewesha.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (42) http://binothaimeen.net/content/944
- Imechapishwa: 09/12/2018
Jibu: Hapana, haijuzu. Yule ambaye ana uwezo wa kufanya hajj basi ni anawajibika kuikimbilia. Kwa sababu mtu hajui anaweza kufikwa na nini. Huenda akapoteza pesa hii. Huenda akawa mgonjwa katika mustakabali. Huenda akafa. Kwa hivyo yule ambaye ana uwezo wa kufanya hajj basi ni anawajibika kuikimbilia. Haijuzu kwake akaichelewesha.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (42) http://binothaimeen.net/content/944
Imechapishwa: 09/12/2018
http://firqatunnajia.com/haijuzu-kwa-mtu-kuchelewesha-hajj-ilihali-ana-uwezo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)