Swali: Siku moja ya Ramadhaan na takriban robo saa kabla ya kuzama kwa jua nilipangusa meno yangu kwa kitambaa ambapo nikatokwa na damu na mimi sikuwa mwenye kukusudia kufanya hivo. Nina ugonjwa huu tangu hapo zamani pale ambapo ninaswaki basi natokwa na damu. Je, swawm yangu ni sahihi?
Jibu: Ndio, swawm yako ni sahihi. Damu hii inayotoka kwenye fizi za mtu wakati wa kupanguza au wakati wa kuswaki haidhuru swawm yake.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdullaah bin Ghudayyaan
´Abdullaah bin Qu´uud
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah nr. (3785)
- Imechapishwa: 28/04/2022
Swali: Siku moja ya Ramadhaan na takriban robo saa kabla ya kuzama kwa jua nilipangusa meno yangu kwa kitambaa ambapo nikatokwa na damu na mimi sikuwa mwenye kukusudia kufanya hivo. Nina ugonjwa huu tangu hapo zamani pale ambapo ninaswaki basi natokwa na damu. Je, swawm yangu ni sahihi?
Jibu: Ndio, swawm yako ni sahihi. Damu hii inayotoka kwenye fizi za mtu wakati wa kupanguza au wakati wa kuswaki haidhuru swawm yake.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdullaah bin Ghudayyaan
´Abdullaah bin Qu´uud
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah nr. (3785)
Imechapishwa: 28/04/2022
https://firqatunnajia.com/damu-inayotoka-kwenye-fizi-inaharibu-swawm/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)