Swali: Mimi nafundisha kama mwalimu katika masomo ambayo kuna mchanganyiko. Miongoni mwa silebasi zao kuna historia kuhusu waimbaji wanawake na wengineo. Baba yangu ananitishia kwamba hayuko radhi nami iwapo nitaacha kazi hii katika masomo hii kutokana na uhaba wa makazi. Unaninasihi nini juu ya hili?
Jibu: Nasaha zangu:
“Haifai kumtii kiumbe katika kumuasi Muumba.”
Haijalishi kitu hata kama ni baba yako. Usimtii katika dhambi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (92) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/%D8%A5%D8%BA%D8%A7%D8%AB%D8%A9%20%D8%A7%D9%84%D9%84%D9%87%D9%81%D8%A7%D9%86%20%D9%85%D9%86%20%D9%85%D8%B5%D8%A7%D8%A6%D8%AF%20%D8%A7%D9%84%D8%B4%D9%8A%D8%B7%D8%A7%D9%86-29-07-1439%D9%87%D9%80%200010.mp3
- Imechapishwa: 21/07/2018
Swali: Mimi nafundisha kama mwalimu katika masomo ambayo kuna mchanganyiko. Miongoni mwa silebasi zao kuna historia kuhusu waimbaji wanawake na wengineo. Baba yangu ananitishia kwamba hayuko radhi nami iwapo nitaacha kazi hii katika masomo hii kutokana na uhaba wa makazi. Unaninasihi nini juu ya hili?
Jibu: Nasaha zangu:
“Haifai kumtii kiumbe katika kumuasi Muumba.”
Haijalishi kitu hata kama ni baba yako. Usimtii katika dhambi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (92) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/%D8%A5%D8%BA%D8%A7%D8%AB%D8%A9%20%D8%A7%D9%84%D9%84%D9%87%D9%81%D8%A7%D9%86%20%D9%85%D9%86%20%D9%85%D8%B5%D8%A7%D8%A6%D8%AF%20%D8%A7%D9%84%D8%B4%D9%8A%D8%B7%D8%A7%D9%86-29-07-1439%D9%87%D9%80%200010.mp3
Imechapishwa: 21/07/2018
https://firqatunnajia.com/baba-hayuko-radhi-akiacha-kazi-ya-haramu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)