Swali: Mwanamke kutoka Ujerumani anafuata mfumo wa Ahl-us-Sunnah na anataka kuolewa na mwanamme ambaye na yeye anafuata mfumo huohuo na ni mwanafunzi. Baba yake na mwanamke huyo ni Suufiy na anamkatalia kuolewa na mwanamme ambaye anafuata mfumo sahihi. Ni vipi atatatua tatizo hilo?
Jibu: Aende katika kituo cha Kiislamu huko kwao. Watalisimamia jambo hilo. Kituo cha Kiislamu ndio watasimamia jambo hili.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (29)
- Imechapishwa: 11/02/2022
Swali: Mwanamke kutoka Ujerumani anafuata mfumo wa Ahl-us-Sunnah na anataka kuolewa na mwanamme ambaye na yeye anafuata mfumo huohuo na ni mwanafunzi. Baba yake na mwanamke huyo ni Suufiy na anamkatalia kuolewa na mwanamme ambaye anafuata mfumo sahihi. Ni vipi atatatua tatizo hilo?
Jibu: Aende katika kituo cha Kiislamu huko kwao. Watalisimamia jambo hilo. Kituo cha Kiislamu ndio watasimamia jambo hili.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (29)
Imechapishwa: 11/02/2022
https://firqatunnajia.com/anataka-kumuozesha-msichana-wake-kwa-sunniy/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)