Swali: Kuna mwanamke mwema ambaye anajiwa na mwenye kumuamsha usingizini kila siku katikati ya usiku ili aswali swalah ya usiku. Je, hii inahesabika ni katika karama za mawalii wa Allaah au ni jambo linalotokamana na shaytwaan?
Jibu: Hapana, shaytwaan haamshani kwa ajili ya swalah. Huenda Allaah anamsaidia kupitia kiumbe hicho.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (13) http://alfawzan.af.org.sa/node/2128
- Imechapishwa: 05/07/2020
Swali: Kuna mwanamke mwema ambaye anajiwa na mwenye kumuamsha usingizini kila siku katikati ya usiku ili aswali swalah ya usiku. Je, hii inahesabika ni katika karama za mawalii wa Allaah au ni jambo linalotokamana na shaytwaan?
Jibu: Hapana, shaytwaan haamshani kwa ajili ya swalah. Huenda Allaah anamsaidia kupitia kiumbe hicho.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (13) http://alfawzan.af.org.sa/node/2128
Imechapishwa: 05/07/2020
https://firqatunnajia.com/anaamshwa-kila-siku-na-kiumbe-kuswali-usiku/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)