Swali: Je, shaytwaan anaweza kujifananisha na umbile la Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwenye kaburi lake?
Jibu: Hata siku moja. Shaytwaan ajifananishe na umbile la Mtume? Ni jambo lisilowezekana. Lakini hata hivyo anaweza kuwadanganya wale wajinga na kuwaambia kuwa mimi ndio Mtume. Hili linawezekana. Ama kuhusu uhakika ni jambo haliwezekani akajifananisha na umbile la Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Anachoweza ni kujifananisha na umbile lisilokuwa la Mtume na mtu ambaye sio msomi akamsadikisha kwa kuwa hajui umbile la Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (13) http://alfawzan.af.org.sa/node/2128
- Imechapishwa: 05/07/2020
Swali: Je, shaytwaan anaweza kujifananisha na umbile la Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwenye kaburi lake?
Jibu: Hata siku moja. Shaytwaan ajifananishe na umbile la Mtume? Ni jambo lisilowezekana. Lakini hata hivyo anaweza kuwadanganya wale wajinga na kuwaambia kuwa mimi ndio Mtume. Hili linawezekana. Ama kuhusu uhakika ni jambo haliwezekani akajifananisha na umbile la Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Anachoweza ni kujifananisha na umbile lisilokuwa la Mtume na mtu ambaye sio msomi akamsadikisha kwa kuwa hajui umbile la Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (13) http://alfawzan.af.org.sa/node/2128
Imechapishwa: 05/07/2020
https://firqatunnajia.com/shaytwaan-kujifananisha-na-umbile-la-mtume-kwenye-kaburi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)