Swali: Baadhi ya watu wanadai kuwa Ibn Laadin ndio Mahdiy anayesubiriwa na wanamwita kuwa ndio kiongozi wa waumini. Wasemaje kwa hilo?
Jibu: Hawa ndio Mashaytwaan. Hawa ndio Mashaytwaan. Ibn Laadin ni Shaytwaan, Khabithi na ni Khaarijiy. Haijuzu kwa yeyote yule kumsifu. Na yule ambaye atakayemsifu, hii ni dalili tosha ya kuwa na yeye ni Khaarijiy kama yeye.
- Mhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=8sJb74fPZ1g
- Imechapishwa: 15/03/2018
Swali: Baadhi ya watu wanadai kuwa Ibn Laadin ndio Mahdiy anayesubiriwa na wanamwita kuwa ndio kiongozi wa waumini. Wasemaje kwa hilo?
Jibu: Hawa ndio Mashaytwaan. Hawa ndio Mashaytwaan. Ibn Laadin ni Shaytwaan, Khabithi na ni Khaarijiy. Haijuzu kwa yeyote yule kumsifu. Na yule ambaye atakayemsifu, hii ni dalili tosha ya kuwa na yeye ni Khaarijiy kama yeye.
Mhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=8sJb74fPZ1g
Imechapishwa: 15/03/2018
https://firqatunnajia.com/an-najmiy-kuhusu-ibn-laadin/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)