Swali: Ni ipi hukumu ya ambaye anatoa Tasliym kabla ya imamu kwa kusahau? Je, swalah yake ni sahihi?
Jibu: Mswaliji akitoa Tasliym kabla ya imamu hali ya kusahau kisha akazindukana, basi arejee katika nia ya swalah. Kisha baada ya hapo atoe Tasliym baada ya imamu wake na wala hakuna kitu juu yake. Swalah yake ni sahihi. Isipokuwa ikiwa ni mswaliji aliyejiunga kwa kuchelewa. Akiwa amekuja kwa kuchelewa kwa Rak´ah moja au zaidi, basi asujudu sijda ya kusahau baada ya kulipa zile Rak´ah anazodaiwa kwa kitendo chake cha kutoa Tasliym kabla ya imamu kwa kusahau.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/275)
- Imechapishwa: 01/11/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya ambaye anatoa Tasliym kabla ya imamu kwa kusahau? Je, swalah yake ni sahihi?
Jibu: Mswaliji akitoa Tasliym kabla ya imamu hali ya kusahau kisha akazindukana, basi arejee katika nia ya swalah. Kisha baada ya hapo atoe Tasliym baada ya imamu wake na wala hakuna kitu juu yake. Swalah yake ni sahihi. Isipokuwa ikiwa ni mswaliji aliyejiunga kwa kuchelewa. Akiwa amekuja kwa kuchelewa kwa Rak´ah moja au zaidi, basi asujudu sijda ya kusahau baada ya kulipa zile Rak´ah anazodaiwa kwa kitendo chake cha kutoa Tasliym kabla ya imamu kwa kusahau.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/275)
Imechapishwa: 01/11/2021
https://firqatunnajia.com/ametoa-tasliym-kabla-ya-imamu-kwa-kusahau/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)