Swali: Kuna mtu amesahau kuosha uso wake wakati wa kutawadha kisha alipomaliza viungo vyote akaosha uso wake. Je, inatosha kufanya hivo au ni lazima kurudi kutawadha upya?
Jibu: Arudi kile alichosahau na vile viungo vilivyofuatia baada yake kwa sharti viungo vyake visivyo vimeshakauka. Ikiwa vimeshakauka basi ni lazima kutawadha upya tena.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (104) https://www.alfawzan. af.org.sa/sites/default/files/13-03-1441%D9%87%D9%80~1_0.mp3
- Imechapishwa: 03/01/2021
Swali: Kuna mtu amesahau kuosha uso wake wakati wa kutawadha kisha alipomaliza viungo vyote akaosha uso wake. Je, inatosha kufanya hivo au ni lazima kurudi kutawadha upya?
Jibu: Arudi kile alichosahau na vile viungo vilivyofuatia baada yake kwa sharti viungo vyake visivyo vimeshakauka. Ikiwa vimeshakauka basi ni lazima kutawadha upya tena.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (104) https://www.alfawzan. af.org.sa/sites/default/files/13-03-1441%D9%87%D9%80~1_0.mp3
Imechapishwa: 03/01/2021
https://firqatunnajia.com/amesahau-kuosha-uso-katika-wudhuu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)