Swali: Nimeona katika nchi moja Khatwiyb anapomaliza Khutbah ya kwanza anakaa na kunyanyua mikono yake wakati wa kuomba Du´aa na kadhalika maamuma…
Jibu: Hii ni Bid´ah. Hii ni Bid´ah. Kunyanyua mikono katika kuomba Du´aa baina ya Khutbah mbili ni Bid´ah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-5-29.mp3
- Imechapishwa: 10/11/2014
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket