Swali: Msichana mdogo ambaye amevaa Hijaab na ambaye ameshikamana na vazi la Kiislamu lililowekwa katika Shari´ah na anausitiri mwili wake mzima isipokuwa uso na viganja vya mikono. Je, anaruhusiwa akitaka kuswali kila nyakati ya swalah msikitini kufanya hivo? Je, anaruhusiwa daima kwenda na mume wake?
Jibu: Hapana vibaya kwa mwanamke kuswali msikitini akiwa ni mwenye kujisitiri Hijaab inayokubalika katika Shari´ah na hali ya kuwa amefunika uso wake, viganja vyake vya mikono na mwili wake mzima. Sambamba na hayo ajiepushe na manukato na kuonyesha mapambo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Msiwazuie wajakazi wa Allaah na misikiti ya Allaah.”
Lakini bora ni yeye kuswali nyumbani kwake. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“… na nyumba zao ni bora kwao.”[1]
[1] Ahmad (5211) na Abu Daawuud (480).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/80)
- Imechapishwa: 20/11/2021
Swali: Msichana mdogo ambaye amevaa Hijaab na ambaye ameshikamana na vazi la Kiislamu lililowekwa katika Shari´ah na anausitiri mwili wake mzima isipokuwa uso na viganja vya mikono. Je, anaruhusiwa akitaka kuswali kila nyakati ya swalah msikitini kufanya hivo? Je, anaruhusiwa daima kwenda na mume wake?
Jibu: Hapana vibaya kwa mwanamke kuswali msikitini akiwa ni mwenye kujisitiri Hijaab inayokubalika katika Shari´ah na hali ya kuwa amefunika uso wake, viganja vyake vya mikono na mwili wake mzima. Sambamba na hayo ajiepushe na manukato na kuonyesha mapambo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Msiwazuie wajakazi wa Allaah na misikiti ya Allaah.”
Lakini bora ni yeye kuswali nyumbani kwake. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“… na nyumba zao ni bora kwao.”[1]
[1] Ahmad (5211) na Abu Daawuud (480).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/80)
Imechapishwa: 20/11/2021
https://firqatunnajia.com/akifunika-mwili-mzima-anaruhusiwa-kwenda-msikitini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)