Swali: Unasemaje juu ya ambaye anasema kuwa swalah ya mkusanyiko inakuwa na yule imamu mteule peke yake?
Jibu: Maoni haya hayana msingi wenye kutegemewa. Lakini lililo la wajibu ni kukimbilia kuswali pamoja na yule imamu mteule na kutochelewa. Lakini pale ambapo Allaah atakadiria kuchelewa kutokana na sababu miongoni mwa sababu kisha akakutana na ambaye ataswali pamoja naye, basi kunatarajiwa kwao thawabu za mkusanyiko kutokana na kuenea kwa dalili.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/81)
- Imechapishwa: 20/11/2021
Swali: Unasemaje juu ya ambaye anasema kuwa swalah ya mkusanyiko inakuwa na yule imamu mteule peke yake?
Jibu: Maoni haya hayana msingi wenye kutegemewa. Lakini lililo la wajibu ni kukimbilia kuswali pamoja na yule imamu mteule na kutochelewa. Lakini pale ambapo Allaah atakadiria kuchelewa kutokana na sababu miongoni mwa sababu kisha akakutana na ambaye ataswali pamoja naye, basi kunatarajiwa kwao thawabu za mkusanyiko kutokana na kuenea kwa dalili.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/81)
Imechapishwa: 20/11/2021
https://firqatunnajia.com/swalah-ya-mkusanyiko-inakuwa-pamoja-na-imamu-mteule-peke-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)