Swali: Je, akatazwe ambaye anafunga mwezi wote wa Muharram na ambaye anafunga Sha´baan na akaifuatishia na Ramadhaan?
Jibu: Asikemewe. Kuhusu Muharram Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swawm bora baada ya mwezi Ramadhaan ni mwezi mtukufu wa Allaah Muharram.”
Kuhusu funga ya Sha´baan imethibiti katika “as-Swahiyh”:
“Ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akifunga Sha´baan yote.”
“Alikuwa anafunga [masiku mengi ya] Sha´baan isipokuwa [masiku] machache.”
Akifunga yote au akala masiku yake machache ni vizuri.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (22)
- Imechapishwa: 15/10/2021
Swali: Je, akatazwe ambaye anafunga mwezi wote wa Muharram na ambaye anafunga Sha´baan na akaifuatishia na Ramadhaan?
Jibu: Asikemewe. Kuhusu Muharram Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swawm bora baada ya mwezi Ramadhaan ni mwezi mtukufu wa Allaah Muharram.”
Kuhusu funga ya Sha´baan imethibiti katika “as-Swahiyh”:
“Ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akifunga Sha´baan yote.”
“Alikuwa anafunga [masiku mengi ya] Sha´baan isipokuwa [masiku] machache.”
Akifunga yote au akala masiku yake machache ni vizuri.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (22)
Imechapishwa: 15/10/2021
https://firqatunnajia.com/akatazwe-anayefunga-muharram-yote/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)