Swali: Kunatakiwa kuwa muda kiasi gani kati ya adhaana ya kwanza na ya pili siku ya ijumaa? Kuna wanaofanya kati yake dakika kumi tu na wengine wanafanya zaidi ya saa moja. Kuna muda maalum uliotengwa?
Jibu: Kunatakiwa kuweko wakati baina yake. Adhaana ya kwanza haina faida ikiwa inafuatiwa na swalah kisha papo hapo wanafika wanaadhini adhaana ya pili, kama inavyofanywa katika misikiti miwili Mitakatifu. Katika hali hii ile adhaana ya kwanza haina faida. Kwa uchache kunatakiwa kuwe nusu saa kati yake. Lengo ni watu waweze kujiandaa na waje kutokea mbali. Adhaana ya kwanza haina maana wala faida yoyote ikiwa inafuatiwa moja kwa moja na adhaana ya pili. Sivyo hivyo alivyofanya ´Uthmaan (Radhiya Allaahu ´anh).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (13) http://alfawzan.af.org.sa/sites/de
- Imechapishwa: 01/10/2017
Swali: Kunatakiwa kuwa muda kiasi gani kati ya adhaana ya kwanza na ya pili siku ya ijumaa? Kuna wanaofanya kati yake dakika kumi tu na wengine wanafanya zaidi ya saa moja. Kuna muda maalum uliotengwa?
Jibu: Kunatakiwa kuweko wakati baina yake. Adhaana ya kwanza haina faida ikiwa inafuatiwa na swalah kisha papo hapo wanafika wanaadhini adhaana ya pili, kama inavyofanywa katika misikiti miwili Mitakatifu. Katika hali hii ile adhaana ya kwanza haina faida. Kwa uchache kunatakiwa kuwe nusu saa kati yake. Lengo ni watu waweze kujiandaa na waje kutokea mbali. Adhaana ya kwanza haina maana wala faida yoyote ikiwa inafuatiwa moja kwa moja na adhaana ya pili. Sivyo hivyo alivyofanya ´Uthmaan (Radhiya Allaahu ´anh).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (13) http://alfawzan.af.org.sa/sites/de
Imechapishwa: 01/10/2017
https://firqatunnajia.com/adhaana-isiyokuwa-na-faida/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)