Swali: Kuna mwanamke amepatwa na maradhi yanayofanya nywele zake kupukuchipa wakati anapoziosha na maji. Afanye nini? Je, aache kuoga josho la hedhi na janaba?
Jibu: Hapana, ni lazima aoge kwa ajili ya hedhi na janaba. Nywele kupukuchika kwa kuzitia maji ni ugonjwa na maradhi. Itambulike kuwa Allaah hakuteremsha ugonjwa wowote isipokuwa pia ameteremsha dawa yake. Hivyo basi aende kwa madaktari huenda wakampatishia dawa itayozifanya nywele kuwa imara pindi atapozipitishia juu yake maji. Nakhofia mwanamke huyu akawa na wasiwasi fulani na kwamba anaosha kichwa chake kwa kukisugua sana na matokeo yake ndio maana nywele zinapukuchika.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (63) http://binothaimeen.net/content/1455
- Imechapishwa: 07/01/2020
Swali: Kuna mwanamke amepatwa na maradhi yanayofanya nywele zake kupukuchipa wakati anapoziosha na maji. Afanye nini? Je, aache kuoga josho la hedhi na janaba?
Jibu: Hapana, ni lazima aoge kwa ajili ya hedhi na janaba. Nywele kupukuchika kwa kuzitia maji ni ugonjwa na maradhi. Itambulike kuwa Allaah hakuteremsha ugonjwa wowote isipokuwa pia ameteremsha dawa yake. Hivyo basi aende kwa madaktari huenda wakampatishia dawa itayozifanya nywele kuwa imara pindi atapozipitishia juu yake maji. Nakhofia mwanamke huyu akawa na wasiwasi fulani na kwamba anaosha kichwa chake kwa kukisugua sana na matokeo yake ndio maana nywele zinapukuchika.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (63) http://binothaimeen.net/content/1455
Imechapishwa: 07/01/2020
https://firqatunnajia.com/aache-kuoga-josho-la-hedhi-na-janaba-kwa-sababu-ya-nywele-kupukuchika-wakati-wa-kuziosha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)