167- Kukusudia kwenda kutembea Yerusalemu baada ya kuhiji na kusema:
قدس الله حجتك
“Allaah aitakase hajj yako.”
168- Kutufu kwenye msikiti wa mwamba kama ambavyo watu wanavyotufu kwenye Ka´bah.
169- Kuadhimisha mwamba kwa aina yoyote ile ya maadhimisho. Kwa mfano kulipapasapapasa, kulibusu, kuwapeleka kondoo hapo ili kuwachinjia hapo, kujenga juu yake na mfano wake.
170- Kuna ambao wanadai kwamba kwenye mwamba mtu anaweza kuona athari ya miguu ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na athari ya kilemba chake. Wako ambao wanadhani kwamba ndio mahali ambapo Allaah (Subhanaahu wa Ta´ala) anaweka mguu Wake.
171- Kutembelea sehemu ambayo wanadai ndiko kazaliwa ´Iysaa (´alayhis-Salaam).
172- Wanadai kwamba huko ndiko kuna Njia na Mizani. Wanasema pia kwamba njia itayotofautisha baina ya Pepo na Moto ni ukuta huo uliojengwa mashariki mwa msikiti.
173- Kuadhimisha mnyororo na sehemu zake.
174- Kuswali kwenye kaburi la Ibraahiym (´alayhis-Salaam).
175- Kukusanyika katika msimu wa hajj katika msikiti wa Aqswaa´ ili kuimba nyimbo na kupiga dufu.
Haya ndio ya mwisho niliyoweza kukusanya katika Bid´ah za hajj na matembezi yake. Ninamuomba Allaah (Tabaarak wa Ta´ala) ayajaalie kuwa ni yenye kuwasaidia waislamu juu ya kumuiga bwana wa Mitume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Kutakasika kutokamana na mapungufu ni Kwako, ee Allaah, na himdi zote ni Zako. Nashuhudia ya kwamba hapana mwabudiwa wa haki isipokuwa Allaah. Nakuomba msamaha na kutubia Kwako.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Manaasik-ul-Hajj wal-´Umrah, uk. 60-61
- Imechapishwa: 22/07/2018
167- Kukusudia kwenda kutembea Yerusalemu baada ya kuhiji na kusema:
قدس الله حجتك
“Allaah aitakase hajj yako.”
168- Kutufu kwenye msikiti wa mwamba kama ambavyo watu wanavyotufu kwenye Ka´bah.
169- Kuadhimisha mwamba kwa aina yoyote ile ya maadhimisho. Kwa mfano kulipapasapapasa, kulibusu, kuwapeleka kondoo hapo ili kuwachinjia hapo, kujenga juu yake na mfano wake.
170- Kuna ambao wanadai kwamba kwenye mwamba mtu anaweza kuona athari ya miguu ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na athari ya kilemba chake. Wako ambao wanadhani kwamba ndio mahali ambapo Allaah (Subhanaahu wa Ta´ala) anaweka mguu Wake.
171- Kutembelea sehemu ambayo wanadai ndiko kazaliwa ´Iysaa (´alayhis-Salaam).
172- Wanadai kwamba huko ndiko kuna Njia na Mizani. Wanasema pia kwamba njia itayotofautisha baina ya Pepo na Moto ni ukuta huo uliojengwa mashariki mwa msikiti.
173- Kuadhimisha mnyororo na sehemu zake.
174- Kuswali kwenye kaburi la Ibraahiym (´alayhis-Salaam).
175- Kukusanyika katika msimu wa hajj katika msikiti wa Aqswaa´ ili kuimba nyimbo na kupiga dufu.
Haya ndio ya mwisho niliyoweza kukusanya katika Bid´ah za hajj na matembezi yake. Ninamuomba Allaah (Tabaarak wa Ta´ala) ayajaalie kuwa ni yenye kuwasaidia waislamu juu ya kumuiga bwana wa Mitume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Kutakasika kutokamana na mapungufu ni Kwako, ee Allaah, na himdi zote ni Zako. Nashuhudia ya kwamba hapana mwabudiwa wa haki isipokuwa Allaah. Nakuomba msamaha na kutubia Kwako.
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Manaasik-ul-Hajj wal-´Umrah, uk. 60-61
Imechapishwa: 22/07/2018
https://firqatunnajia.com/34-bidah-za-yerusalemu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)