Hakuna neno kwa mwanamke kutumia kitu chenye kuzuia kuteremka kwa hedhi yake ikiwa hazimdhuru afya yake. Akizitumia na hedhi ikakoma basi atafunga, ataswali na atafanya Twawaaf na hayo yatasihi kutoka kwake. Atakuwa kama wanawake wengine waliotwahirika.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tanbiyhaat, uk. 41
- Imechapishwa: 30/10/2019
Hakuna neno kwa mwanamke kutumia kitu chenye kuzuia kuteremka kwa hedhi yake ikiwa hazimdhuru afya yake. Akizitumia na hedhi ikakoma basi atafunga, ataswali na atafanya Twawaaf na hayo yatasihi kutoka kwake. Atakuwa kama wanawake wengine waliotwahirika.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tanbiyhaat, uk. 41
Imechapishwa: 30/10/2019
https://firqatunnajia.com/22-hukumu-ya-kutumia-dawa-kuzuia-hedhi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)