Hakuna neno kwa mwanamke kutumia kitu chenye kuzuia kuteremka kwa hedhi yake ikiwa hazimdhuru afya yake. Akizitumia na hedhi ikakoma basi atafunga, ataswali na atafanya Twawaaf na hayo yatasihi kutoka kwake. Atakuwa kama wanawake wengine waliotwahirika.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tanbiyhaat, uk. 41
- Imechapishwa: 30/10/2019
Hakuna neno kwa mwanamke kutumia kitu chenye kuzuia kuteremka kwa hedhi yake ikiwa hazimdhuru afya yake. Akizitumia na hedhi ikakoma basi atafunga, ataswali na atafanya Twawaaf na hayo yatasihi kutoka kwake. Atakuwa kama wanawake wengine waliotwahirika.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tanbiyhaat, uk. 41
Imechapishwa: 30/10/2019
https://firqatunnajia.com/22-hukumu-ya-kutumia-dawa-kuzuia-hedhi/