Swali 18: Ni lazima kwa mwanamke kuyabadilisha mavazi yake baada ya kusafika pamoja na kuzingatia kwamba hayakuingiwa na damu wala najisi?
Jibu: Hailazimu kufanya hivo. Hedhi haiunajisi mwili. Damu ya hedhi inanajisi kile ilichogusa peke yake. Kwa ajili hii Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amewaamrisha wanawake pindi mavazi yao yanapopatwa na damu ya hedhi basi wayaoshe na waswali ndani ya nguo zao hizo.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 17
- Imechapishwa: 27/06/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket