Swali 18: Ni lazima kwa mwanamke kuyabadilisha mavazi yake baada ya kusafika pamoja na kuzingatia kwamba hayakuingiwa na damu wala najisi?
Jibu: Hailazimu kufanya hivo. Hedhi haiunajisi mwili. Damu ya hedhi inanajisi kile ilichogusa peke yake. Kwa ajili hii Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amewaamrisha wanawake pindi mavazi yao yanapopatwa na damu ya hedhi basi wayaoshe na waswali ndani ya nguo zao hizo.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 17
- Imechapishwa: 27/06/2021
Swali 18: Ni lazima kwa mwanamke kuyabadilisha mavazi yake baada ya kusafika pamoja na kuzingatia kwamba hayakuingiwa na damu wala najisi?
Jibu: Hailazimu kufanya hivo. Hedhi haiunajisi mwili. Damu ya hedhi inanajisi kile ilichogusa peke yake. Kwa ajili hii Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amewaamrisha wanawake pindi mavazi yao yanapopatwa na damu ya hedhi basi wayaoshe na waswali ndani ya nguo zao hizo.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 17
Imechapishwa: 27/06/2021
https://firqatunnajia.com/18-ni-lazima-kwa-mwanamke-kubadilisha-nguo-zake-akisafika-na-hedhi/