Ni wajibu kwa baba kuchagua jina zuri lililobeba matamshi na maana nzuri kwa mujibu wa Shari´ah na lugha ya kiarabu. Jina linatakiwa liwe lizuri; linalotamkwa vizuri, zuri kulisikia. Linatakiwa kuwa na maana tukufu na nzuri na lisiwe na yale yote ambayo Shari´ah imeharamisha au kuchukiza kama vile majina yenye kutoka nje, linaloashiria ushabihisho na lililo na maana iliyojifunga.
Kwa msemo mwingine ni kwamba usichague jina isipokuwa baada ya kutafiti utamkaji na maana yake kupitia elimu, ufahamu na uelewa. Lililo salama zaidi ni kumtaka ushauri ambaye ni mjuzi. Kuna methali inayosema:
“Ni haki ya mtoto juu ya baba kumchagulia mama mzuri, kumpa jina nzuri na kumfunza adabu zilizokuwa nzuri.” Juu ya hilo kuna Hadiyth isiyokuwa Swahiyh[1].
[1] Tazama “as-Silsilah adh-Dhwa´iyfah” (199) na “Ittihaad-us-Saadah al-Muttaqiyn” (06/317-318).
- Mhusika: ´Allaamah Bakr bin ´Abdillaah Abu Zayd
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tasmiyat-ul-Mawluwd, uk. 15-16
- Imechapishwa: 18/03/2017
Ni wajibu kwa baba kuchagua jina zuri lililobeba matamshi na maana nzuri kwa mujibu wa Shari´ah na lugha ya kiarabu. Jina linatakiwa liwe lizuri; linalotamkwa vizuri, zuri kulisikia. Linatakiwa kuwa na maana tukufu na nzuri na lisiwe na yale yote ambayo Shari´ah imeharamisha au kuchukiza kama vile majina yenye kutoka nje, linaloashiria ushabihisho na lililo na maana iliyojifunga.
Kwa msemo mwingine ni kwamba usichague jina isipokuwa baada ya kutafiti utamkaji na maana yake kupitia elimu, ufahamu na uelewa. Lililo salama zaidi ni kumtaka ushauri ambaye ni mjuzi. Kuna methali inayosema:
“Ni haki ya mtoto juu ya baba kumchagulia mama mzuri, kumpa jina nzuri na kumfunza adabu zilizokuwa nzuri.” Juu ya hilo kuna Hadiyth isiyokuwa Swahiyh[1].
[1] Tazama “as-Silsilah adh-Dhwa´iyfah” (199) na “Ittihaad-us-Saadah al-Muttaqiyn” (06/317-318).
Mhusika: ´Allaamah Bakr bin ´Abdillaah Abu Zayd
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tasmiyat-ul-Mawluwd, uk. 15-16
Imechapishwa: 18/03/2017
https://firqatunnajia.com/16-namna-hii-ndio-baba-atamchagulia-mtoto-jina-zuri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)