13- Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah aliandika kitabu kwa mkono Wake na akakiweka Kwake juu ya ´Arshi: hakika rehema Yangu inashinda ghadhabu Zangu.”[1]
Hadiyth ni Swahiyh.
[1] al-Bukhaariy (3194) na Muslim (2107).
- Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 19
- Imechapishwa: 19/06/2019
13- Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah aliandika kitabu kwa mkono Wake na akakiweka Kwake juu ya ´Arshi: hakika rehema Yangu inashinda ghadhabu Zangu.”[1]
Hadiyth ni Swahiyh.
[1] al-Bukhaariy (3194) na Muslim (2107).
Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 19
Imechapishwa: 19/06/2019
https://firqatunnajia.com/14-dalili-ya-kumi-na-mbili-kutoka-katika-sunnah-juu-ya-mikono-ya-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)