Kuwasaidia makafiri dhidi ya waislamu chini yake kuna mafungu mengi:
1- Fungu la kwanza: Kuwasaidia dhidi ya waislamu pamoja na kupenda yale mambo ya ukafiri waliyomo, shirki na upotevu. Fungu hili haina shaka yoyote kuwa ni shirki kubwa inayomtoa mtu katika Uislamu. Atakayewasaidia dhidi ya waislamu pamoja na kupenda dini yao waliyomo na kuridhika nayo, sambamba na hilo akafanya hivo kwa kutaka kwake mwenyewe na si kwamba amelazimishwa, hii inakuwa ni kufuru kubwa inayomtoa mtu katika Uislamu. Hivo ndio udhahiri wa maneno Yake (Ta´ala):
فَإِنَّهُ مِنْهُمْ
“… basi hakika yeye ni miongoni mwao.”
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 159
- Imechapishwa: 18/02/2019
Kuwasaidia makafiri dhidi ya waislamu chini yake kuna mafungu mengi:
1- Fungu la kwanza: Kuwasaidia dhidi ya waislamu pamoja na kupenda yale mambo ya ukafiri waliyomo, shirki na upotevu. Fungu hili haina shaka yoyote kuwa ni shirki kubwa inayomtoa mtu katika Uislamu. Atakayewasaidia dhidi ya waislamu pamoja na kupenda dini yao waliyomo na kuridhika nayo, sambamba na hilo akafanya hivo kwa kutaka kwake mwenyewe na si kwamba amelazimishwa, hii inakuwa ni kufuru kubwa inayomtoa mtu katika Uislamu. Hivo ndio udhahiri wa maneno Yake (Ta´ala):
فَإِنَّهُ مِنْهُمْ
“… basi hakika yeye ni miongoni mwao.”
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 159
Imechapishwa: 18/02/2019
https://firqatunnajia.com/120-aina-ya-kwanza-ya-waislamu-kuwafanya-makafiri-marafiki-na-vipenzi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)