1061- Anas (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Tulikuwa pamoja na Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika safari. Miongoni mwetu wako waliokuwa wamefunga na wengine hawakufunga. Tukapiga kambi katika siku ya joto. Wengi wetu waliokuwa wamefanyiwa kivuli ni watu wa kitambara. Miongoni mwetu wako waliokuwa wakizuia jua kwa mikono yao. Wakaanguka chini wafungaji na ambao hawafunga wakasimama na kuanza kujenga vibanda na kuwapa maji vipando vya wanyama. Ndipo Mtume wa Alllaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema: “Wale ambao hawakufunga leo wameenda na thawabu.”[1]
Ameipokea Muslim[2].
[1] Swahiyh.
[2] Pia al-Bukhaariy, an-Nasaa’iy na wengineo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/617)
- Imechapishwa: 22/04/2020
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
1061- Anas (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Tulikuwa pamoja na Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika safari. Miongoni mwetu wako waliokuwa wamefunga na wengine hawakufunga. Tukapiga kambi katika siku ya joto. Wengi wetu waliokuwa wamefanyiwa kivuli ni watu wa kitambara. Miongoni mwetu wako waliokuwa wakizuia jua kwa mikono yao. Wakaanguka chini wafungaji na ambao hawafunga wakasimama na kuanza kujenga vibanda na kuwapa maji vipando vya wanyama. Ndipo Mtume wa Alllaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema: “Wale ambao hawakufunga leo wameenda na thawabu.”[1]
Ameipokea Muslim[2].
[1] Swahiyh.
[2] Pia al-Bukhaariy, an-Nasaa’iy na wengineo.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/617)
Imechapishwa: 22/04/2020
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/09-hadiyth-wale-ambao-hawakufunga-leo-wameenda-na-thawabu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)