5- Kumuomba Allaah usalama asubuhi na jioni
´Abdullaah bin ´Umar (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa haziachi du´aa hizi wakati anapoamka asubuhi na wakati anapoingiliwa na jioni:
اللهُمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ الْعَافِيَةَ فِي الدُّنْيَا والآخِرَةِ اللَّهُمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ الْعَفْوَ والْعَافِيَةَ في دِيني ودُنْيَايَ وأَهْلِي وَمَالِي اللَّهُمَّ اسْتُرْ عَوْرَاتِي وآمِنْ رَوْعَاتِي اللَّهُمَّ احْفَظنِي بَيْنَ يَدَيَّ وَمِنْ خَلْفِي وَعَنْ يَمِيني وَعَنْ شِمَالِي وَمِنْ فَوْقِي وَأَعُوذُ بِعَظَمَتِكَ أَنْ أُغْتَالَ مِنْ تَحْتِ
“Ee Allaah! Hakika mimi nakuomba usalama duniani na Aakhirah. Ee Allaah! Hakika mimi nakuomba msamaha na afya katika dini, dunia yangu, familia yangu na mali yangu. Ee Allaah! Nifichie aibu zangu na ziaminishe tisho zangu. Ee Allaah! Nilinde mbele yangu, nyuma yangu, kulianu kwangu, kushotoni kwangu na juu yangu. Najilinda kwa utukufu Wako kuuliwa chini yangu.”[1]
[1] Ahmad na wengineo.
- Mhusika: Shaykh ´Abdur-Razzaaq bin ´Abdil-Muhsin al-´Abbaad
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ´Ashru Waswaayaa lil-Wiqaayah min-al-Wabaa’, uk. 9
- Imechapishwa: 01/04/2020
5- Kumuomba Allaah usalama asubuhi na jioni
´Abdullaah bin ´Umar (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa haziachi du´aa hizi wakati anapoamka asubuhi na wakati anapoingiliwa na jioni:
اللهُمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ الْعَافِيَةَ فِي الدُّنْيَا والآخِرَةِ اللَّهُمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ الْعَفْوَ والْعَافِيَةَ في دِيني ودُنْيَايَ وأَهْلِي وَمَالِي اللَّهُمَّ اسْتُرْ عَوْرَاتِي وآمِنْ رَوْعَاتِي اللَّهُمَّ احْفَظنِي بَيْنَ يَدَيَّ وَمِنْ خَلْفِي وَعَنْ يَمِيني وَعَنْ شِمَالِي وَمِنْ فَوْقِي وَأَعُوذُ بِعَظَمَتِكَ أَنْ أُغْتَالَ مِنْ تَحْتِ
“Ee Allaah! Hakika mimi nakuomba usalama duniani na Aakhirah. Ee Allaah! Hakika mimi nakuomba msamaha na afya katika dini, dunia yangu, familia yangu na mali yangu. Ee Allaah! Nifichie aibu zangu na ziaminishe tisho zangu. Ee Allaah! Nilinde mbele yangu, nyuma yangu, kulianu kwangu, kushotoni kwangu na juu yangu. Najilinda kwa utukufu Wako kuuliwa chini yangu.”[1]
[1] Ahmad na wengineo.
Mhusika: Shaykh ´Abdur-Razzaaq bin ´Abdil-Muhsin al-´Abbaad
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: ´Ashru Waswaayaa lil-Wiqaayah min-al-Wabaa’, uk. 9
Imechapishwa: 01/04/2020
https://firqatunnajia.com/05-kinga-ya-tano-ya-janga-la-corona-kuomba-kusalimishwa-asubuhi-na-jioni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)