4- Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Mja anapotoa swadaqah ya kitu kizuri, basi Allaah huipokea na huishika kwa mkono Wake wa kuume na kuielea, kama anavyolea mmoja wenu kitekli chake, mpaka inakuwa kama Uhud. Pindi mmoja wenu anapotoa tonge la chakula basi linalelewa mikononi mwa Allaah mpaka linakuwa kama Uhud. Hivyo toeni swadaqah!”[1]
Hadiyth hizi ni Swahiyh.
[1] ´Abdur-Razzaaq (20050).
- Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 16-17
- Imechapishwa: 11/12/2018
”Mja anapotoa swadaqah ya kitu kizuri, basi Allaah huipokea na huishika kwa mkono Wake wa kuume na kuielea, kama anavyolea mmoja wenu kitekli chake, mpaka inakuwa kama Uhud. Pindi mmoja wenu anapotoa tonge la chakula basi linalelewa mikononi mwa Allaah mpaka linakuwa kama Uhud. Hivyo toeni swadaqah!”[1]
Hadiyth hizi ni Swahiyh.
[1] ´Abdur-Razzaaq (20050).
Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 16-17
Imechapishwa: 11/12/2018
http://firqatunnajia.com/05-dalili-ya-nne-kutoka-katika-sunnah-juu-ya-mikono-ya-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)