2- Swawm ya faradhi haisihi isipokuwa mpaka mtu aweke nia usiku. Hayo ni kutokana na yale yaliyothibiti kutoka kwake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ya kwamba amesema:
”Yule asiyeweka nia kabla ya alfajiri basi hana swawm.”[1]
Imekuja katika tamko lingine:
”Ambaye hakulala na nia ya funga kabla ya alfajiri.”[2]
Imekuja katika tamko lingine:
”Ambaye hakulala na nia ya funga sehemu ya usiku.”[3]
[1] Abu Daawuud (2454).
[2] an-Nasaa´iy (2331),
[3] an-Nasaa´iy (2334).
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mukhtaswaru fiy Ahkaam-is-Swiyaam, uk. 10-11
- Imechapishwa: 10/04/2019
2- Swawm ya faradhi haisihi isipokuwa mpaka mtu aweke nia usiku. Hayo ni kutokana na yale yaliyothibiti kutoka kwake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ya kwamba amesema:
”Yule asiyeweka nia kabla ya alfajiri basi hana swawm.”[1]
Imekuja katika tamko lingine:
”Ambaye hakulala na nia ya funga kabla ya alfajiri.”[2]
Imekuja katika tamko lingine:
”Ambaye hakulala na nia ya funga sehemu ya usiku.”[3]
[1] Abu Daawuud (2454).
[2] an-Nasaa´iy (2331),
[3] an-Nasaa´iy (2334).
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mukhtaswaru fiy Ahkaam-is-Swiyaam, uk. 10-11
Imechapishwa: 10/04/2019
https://firqatunnajia.com/03-ulazima-wa-kuweka-kila-siku-nia-kabla-ya-alfajiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)