97- Jaabir (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akikusanya kati ya watu wawili katika wauliwa wa Uhud ndani ya kaburi moja kisha anasema: “Ni nani katika ya hao wawili aliye na Qur-aan nyingi?” Akiashiriwa mmoja wao basi anamtanguliza kwenye mwanandani.”[1]
Ameipokea al-Bukhaariy.
[1] Swahiyh.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/148)
- Imechapishwa: 02/05/2020
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
97- Jaabir (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akikusanya kati ya watu wawili katika wauliwa wa Uhud ndani ya kaburi moja kisha anasema: “Ni nani katika ya hao wawili aliye na Qur-aan nyingi?” Akiashiriwa mmoja wao basi anamtanguliza kwenye mwanandani.”[1]
Ameipokea al-Bukhaariy.
[1] Swahiyh.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/148)
Imechapishwa: 02/05/2020
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/01-hadiyth-mtume-alikuwa-akikusanya-kati-ya-watu-wawili-katika-wauliwa-wa-uhud/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)