01. Hadiyth “Mtume alikuwa akikusanya kati ya watu wawili katika wauliwa wa Uhud… “

97- Jaabir (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:

“Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akikusanya kati ya watu wawili katika wauliwa wa Uhud ndani ya kaburi moja kisha anasema: “Ni nani katika ya hao wawili aliye na Qur-aan nyingi?” Akiashiriwa mmoja wao basi anamtanguliza kwenye mwanandani.”[1]

Ameipokea al-Bukhaariy.

[1] Swahiyh.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/148)
  • Imechapishwa: 02/05/2020
  • taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy