Swali: Ni ipi hukumu ya kutazama ni nani anayepiga simu halafu mtu akaitoa sauti au kuizima katika swalah?
Jibu: Ni sawa kuitoa sauti au kuizima. Ama kutazama ni nani anayepiga simu ni jambo linaloshughulisha.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-02.mp3
- Imechapishwa: 02/06/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kutazama ni nani anayepiga simu halafu mtu akaitoa sauti au kuizima katika swalah?
Jibu: Ni sawa kuitoa sauti au kuizima. Ama kutazama ni nani anayepiga simu ni jambo linaloshughulisha.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-02.mp3
Imechapishwa: 02/06/2018
https://firqatunnajia.com/zima-simu-kabla-ya-swalah/