Swali: Wako wanafunzi wazuri wenye kujishughulisha na elimu na hawafanyi kazi pamoja na kwamba wana uwezo wa kufanya kazi…
Jibu: Hawawezi kufanya kazi kwa sababu wameshughulishwa na kutafuta elimu. Wape zakaah. Hakuna neno. Wasaidie kusoma. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiwapa Ahl-ul-Suffah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (18) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-15011435-01.mp3
- Imechapishwa: 16/11/2019
Swali: Wako wanafunzi wazuri wenye kujishughulisha na elimu na hawafanyi kazi pamoja na kwamba wana uwezo wa kufanya kazi…
Jibu: Hawawezi kufanya kazi kwa sababu wameshughulishwa na kutafuta elimu. Wape zakaah. Hakuna neno. Wasaidie kusoma. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiwapa Ahl-ul-Suffah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (18) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-15011435-01.mp3
Imechapishwa: 16/11/2019
https://firqatunnajia.com/zakaah-kwa-wanafunzi-mairi/