Swali: Inafaa kuwapa zakaah wenye kufagia barabara?
Jibu: Ukijua kuwa ni mafukara na mshahara wao hauwatoshi na ni waislamu, ndio. Bali wao wana haki zaidi kuliko wengine.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (18) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-15011435-01.mp3
- Imechapishwa: 09/11/2019
Swali: Inafaa kuwapa zakaah wenye kufagia barabara?
Jibu: Ukijua kuwa ni mafukara na mshahara wao hauwatoshi na ni waislamu, ndio. Bali wao wana haki zaidi kuliko wengine.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (18) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-15011435-01.mp3
Imechapishwa: 09/11/2019
https://firqatunnajia.com/zakaah-kwa-wafagiaji-barabara/