Swali: Kuna mtu amekufa na anadaiwa. Je, inafaa kulipa deni hili kutoka katika zakaah?
Jibu: Haijuzu kulipa deni la maiti kutoka katika zakaah. Lakini kama alichukua deni kwa nia ya kulipa baadaye, basi Allaah atamlipia.
Muhammad bin Swaalih al-´Uthaymiyn
1394-05-01
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/285)
- Imechapishwa: 04/05/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)