Swali: Kuna mtu amekufa na anadaiwa. Je, inafaa kulipa deni hili kutoka katika zakaah?
Jibu: Haijuzu kulipa deni la maiti kutoka katika zakaah. Lakini kama alichukua deni kwa nia ya kulipa baadaye, basi Allaah atamlipia.
Muhammad bin Swaalih al-´Uthaymiyn
1394-05-01
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/285)
- Imechapishwa: 04/05/2021
Swali: Kuna mtu amekufa na anadaiwa. Je, inafaa kulipa deni hili kutoka katika zakaah?
Jibu: Haijuzu kulipa deni la maiti kutoka katika zakaah. Lakini kama alichukua deni kwa nia ya kulipa baadaye, basi Allaah atamlipia.
Muhammad bin Swaalih al-´Uthaymiyn
1394-05-01
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/285)
Imechapishwa: 04/05/2021
https://firqatunnajia.com/zakaah-juu-ya-deni-la-maiti/