Swali: Ipi nasaha yako kwa yule anayemdiy´ Imaam Ibn Hajar na Imaam an-Nawawiy (Rahimahumu Allaah)?
Jibu: Huyu ndiye Mubtadiy´. Ama Imaam Ibn Hajar na Imaam an-Nawawiy ni maimamu wawili watukufu na ni watu wa Hadiyth. Na wana vitabu vikubwa ambavyo wamestafidi kwavyo Waislamu. Na bado Waislamu wanaendelea kustafidi kwavyo. Na ni katika wanachuoni wa Hadiyth. Haijuzu kuwabadiy´ maimamu hawa wawili.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://youtu.be/DwU2RGsH2V0
- Imechapishwa: 10/03/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)