Hatulijui jambo hili analouliza. Anauliza kuhusu kusoma Qur-aan kwa ajili ya wafu. Hili halina asili kabisa. Yule anayesoma Qur-aan kwa ajili ya maiti baada ya kufa, kaburini, juu ya jeneza au kaburini, yote haya hayana msingi. Kwa msemo mwingine kusoma Qur-aan kwa ajili ya wafu makaburini, wakati wa kumzika au katika usiku aliyofariki ambapo watu hukusanyika na kumsomea, yote haya hayana msingi. Hatulijui jambo hili kuwa na msingi wowote katika Shari´ah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1023/حكم-قراءة-القران-على-الميت-بعد-الدفن
Hatulijui jambo hili analouliza. Anauliza kuhusu kusoma Qur-aan kwa ajili ya wafu. Hili halina asili kabisa. Yule anayesoma Qur-aan kwa ajili ya maiti baada ya kufa, kaburini, juu ya jeneza au kaburini, yote haya hayana msingi. Kwa msemo mwingine kusoma Qur-aan kwa ajili ya wafu makaburini, wakati wa kumzika au katika usiku aliyofariki ambapo watu hukusanyika na kumsomea, yote haya hayana msingi. Hatulijui jambo hili kuwa na msingi wowote katika Shari´ah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1023/حكم-قراءة-القران-على-الميت-بعد-الدفن
https://firqatunnajia.com/yote-haya-hayana-msingi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket