11Naye Yesu akasimama mbele ya liwali; liwali akamuuliza: “Wewe ndiye mfalme wa mayahudi?” Yesu akamjibu: “Wewe ndiye umesema hivo.” 12Pindi aliposhitakiwa na wakuu wa makuhani na wazee hakujibu kitu. 13Hapo ndipo Pilato akamwambia: “Husikii ni yepi wanayokushuhudia?” 14Hakujibu hata neno moja, hata liwali akastaajabu sana.”
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mathayo 27:11-14
- Imechapishwa: 29/02/2020
11Naye Yesu akasimama mbele ya liwali; liwali akamuuliza: “Wewe ndiye mfalme wa mayahudi?” Yesu akamjibu: “Wewe ndiye umesema hivo.” 12Pindi aliposhitakiwa na wakuu wa makuhani na wazee hakujibu kitu. 13Hapo ndipo Pilato akamwambia: “Husikii ni yepi wanayokushuhudia?” 14Hakujibu hata neno moja, hata liwali akastaajabu sana.”
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mathayo 27:11-14
Imechapishwa: 29/02/2020
https://firqatunnajia.com/yesu-hakusulubiwa-msalabani-kwa-mujibu-wa-biblia-3/