Swali 10: Je, makusudio ya swalah ya kati na kati katika maneno Yake (Ta´ala):
حَافِظُوا عَلَى الصَّلَوَاتِ وَالصَّلَاةِ الْوُسْطَىٰ وَقُومُوا لِلَّـهِ قَانِتِينَ
”Shikamaneni na swalah na khaswakhaswa swalah ya katikati na simameni mbele ya Allaah katika hali ya utiifu.”[1]
ni swalah ya ´Aswr? Je, hiyo ndio swalah bora zaidi?
Jibu: Maoni sahihi ni kwamba ni swalah ya ´Aswr. Hiyo ndio swalah bora kabisa.
[1] 02:238
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 33
- Imechapishwa: 20/09/2018
Swali 10: Je, makusudio ya swalah ya kati na kati katika maneno Yake (Ta´ala):
حَافِظُوا عَلَى الصَّلَوَاتِ وَالصَّلَاةِ الْوُسْطَىٰ وَقُومُوا لِلَّـهِ قَانِتِينَ
”Shikamaneni na swalah na khaswakhaswa swalah ya katikati na simameni mbele ya Allaah katika hali ya utiifu.”[1]
ni swalah ya ´Aswr? Je, hiyo ndio swalah bora zaidi?
Jibu: Maoni sahihi ni kwamba ni swalah ya ´Aswr. Hiyo ndio swalah bora kabisa.
[1] 02:238
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 33
Imechapishwa: 20/09/2018
https://firqatunnajia.com/yepi-makusidio-ya-swalah-ya-kati-na-kati/