Swali 166: Vipi kuhusu kudumu katika kusoma Aayah:
إِنَّ اللَّـهَ يَأْمُرُ بِالْعَدْلِ وَالْإِحْسَانِ وَإِيتَاءِ ذِي الْقُرْبَىٰ وَيَنْهَىٰ عَنِ الْفَحْشَاءِ وَالْمُنكَرِ وَالْبَغْيِ ۚ يَعِظُكُمْ لَعَلَّكُمْ تَذَكَّرُونَ
“Hakika Allaah anaamrishia uadilifu na wemaa na kuwapa [mahitajio na msaada] jamaa wa karibu na anakataza machafu na maovu na ukandamizaji; anakuwaidhini huenda mkapata kukumbuka.”[1]
na kuwaombea makhaliyfah waongofu katika Khutbah ya ijumaa?
Jibu: Hili limepokelewa kutoka kwa Salaf. Kwa hiyo hakuna tatizo.
[1] 16:90
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 73
- Imechapishwa: 03/04/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 166: Vipi kuhusu kudumu katika kusoma Aayah:
إِنَّ اللَّـهَ يَأْمُرُ بِالْعَدْلِ وَالْإِحْسَانِ وَإِيتَاءِ ذِي الْقُرْبَىٰ وَيَنْهَىٰ عَنِ الْفَحْشَاءِ وَالْمُنكَرِ وَالْبَغْيِ ۚ يَعِظُكُمْ لَعَلَّكُمْ تَذَكَّرُونَ
“Hakika Allaah anaamrishia uadilifu na wemaa na kuwapa [mahitajio na msaada] jamaa wa karibu na anakataza machafu na maovu na ukandamizaji; anakuwaidhini huenda mkapata kukumbuka.”[1]
na kuwaombea makhaliyfah waongofu katika Khutbah ya ijumaa?
Jibu: Hili limepokelewa kutoka kwa Salaf. Kwa hiyo hakuna tatizo.
[1] 16:90
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 73
Imechapishwa: 03/04/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/yamepokelewa-kwa-salaf/