Swali: Ni ipi hukumu ya kusoma Suurah Yaa Siyn juu ya kaburi la maiti?
Jibu: Haisomwi chochote juu ya makaburi, si Yaa Siyn wala kitu kingine. Yaa Siyn inasomwa kwa yule aliye katika hali ya kukata roho kabla hajafariki. Inapendekezwa kusomwa kwa anayetaka kukata roho kabla hajafariki kutokana na Hadiyth iliyopokelewa juu ya hilo. Ama baada ya kuzikwa, makaburi hayasomewi Yaa Siyn wala kitu chochote wala hakuswaliwi hapo. Yote hayo ni Bid´ah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31695/ما-حكم-قراءة-سورة-يس-على-قبر-الميت
- Imechapishwa: 15/11/2025
Swali: Ni ipi hukumu ya kusoma Suurah Yaa Siyn juu ya kaburi la maiti?
Jibu: Haisomwi chochote juu ya makaburi, si Yaa Siyn wala kitu kingine. Yaa Siyn inasomwa kwa yule aliye katika hali ya kukata roho kabla hajafariki. Inapendekezwa kusomwa kwa anayetaka kukata roho kabla hajafariki kutokana na Hadiyth iliyopokelewa juu ya hilo. Ama baada ya kuzikwa, makaburi hayasomewi Yaa Siyn wala kitu chochote wala hakuswaliwi hapo. Yote hayo ni Bid´ah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31695/ما-حكم-قراءة-سورة-يس-على-قبر-الميت
Imechapishwa: 15/11/2025
https://firqatunnajia.com/yaa-siyn-anasomewa-anayetaka-kukata-roho-na-si-kwa-maiti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
