Swali 42: Kwa nisba ya kutawadha kutokamana na utoko inatosha kuosha vile viungo vya wudhuu´ peke yake?
Jibu: Ndio, inatosha kufanya hivo kujengea kwamba ikiwa ni msafi (nao ni ule ambao unatoka kwenye kifuko cha uzazi) na si kwenye kibofu cha mkojo.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 36-37
- Imechapishwa: 15/08/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)