124 – Nilimuuliza Shaykh ni ipi hukumu ya mwanamke kupangusa kichwa chake akiwa na hinaa?
Jibu: Dhahiri ya kile alichopokea Abu Daawuud kutoka kwa ´Aaishah ni kupangusa juu ya kitambaa, jambo ambalo linafahamisha kuwa inafaa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 63
- Imechapishwa: 19/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
124 – Nilimuuliza Shaykh ni ipi hukumu ya mwanamke kupangusa kichwa chake akiwa na hinaa?
Jibu: Dhahiri ya kile alichopokea Abu Daawuud kutoka kwa ´Aaishah ni kupangusa juu ya kitambaa, jambo ambalo linafahamisha kuwa inafaa.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 63
Imechapishwa: 19/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/wudhuu-kwa-aliyepaka-hinaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
