Swali: Kuna ambao wanasema kwamba wako ambao wanajua baadhi ya mambo yaliyochikana. Je, anazingatiwa kuwa ni mshirikina kwa kitendo hichi?
Jibu: Anazingatiwa ni kafiri. Mwenye kusema kuwa anajua mambo yaliyofichikana ni kafiri. Na yule mwenye kumsadikisha pia ni kafiri:
عَالِمُ الْغَيْبِ فَلَا يُظْهِرُ عَلَىٰ غَيْبِهِ أَحَدًا إِلَّا مَنِ ارْتَضَىٰ مِن رَّسُولٍ
“Mjuzi wa yaliyofichikana na wala hamdhihirishii yeyote ghaibu Yake; isipokuwa yule Aliyemridhia miongoni mwa Mitume… “ (72:26-27)
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (92) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/%D8%A5%D8%BA%D8%A7%D8%AB%D8%A9%20%D8%A7%D9%84%D9%84%D9%87%D9%81%D8%A7%D9%86%20%D9%85%D9%86%20%D9%85%D8%B5%D8%A7%D8%A6%D8%AF%20%D8%A7%D9%84%D8%B4%D9%8A%D8%B7%D8%A7%D9%86-29-07-1439%D9%87%D9%80%200010.mp3
- Imechapishwa: 30/07/2018
Swali: Kuna ambao wanasema kwamba wako ambao wanajua baadhi ya mambo yaliyochikana. Je, anazingatiwa kuwa ni mshirikina kwa kitendo hichi?
Jibu: Anazingatiwa ni kafiri. Mwenye kusema kuwa anajua mambo yaliyofichikana ni kafiri. Na yule mwenye kumsadikisha pia ni kafiri:
عَالِمُ الْغَيْبِ فَلَا يُظْهِرُ عَلَىٰ غَيْبِهِ أَحَدًا إِلَّا مَنِ ارْتَضَىٰ مِن رَّسُولٍ
“Mjuzi wa yaliyofichikana na wala hamdhihirishii yeyote ghaibu Yake; isipokuwa yule Aliyemridhia miongoni mwa Mitume… “ (72:26-27)
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (92) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/%D8%A5%D8%BA%D8%A7%D8%AB%D8%A9%20%D8%A7%D9%84%D9%84%D9%87%D9%81%D8%A7%D9%86%20%D9%85%D9%86%20%D9%85%D8%B5%D8%A7%D8%A6%D8%AF%20%D8%A7%D9%84%D8%B4%D9%8A%D8%B7%D8%A7%D9%86-29-07-1439%D9%87%D9%80%200010.mp3
Imechapishwa: 30/07/2018
https://firqatunnajia.com/wote-wawili-ni-makafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)