Swali: Inafaa kuswali swalah ya Witr muadhini akiadhini kwa ajili ya swalah ya Fajr?
Jibu: Ikiwa ameshaianza basi aikamilishe. Lakini hapana ikiwa ndio ameianza. Kwa sababu adhaana ya Fajr inafidisha dhana ya juu na haifidishi yakini ya juu. Kwa sababu muadhini anaadhini kwa mujibu wa kalenda. Ama ikiwa ameona kweli kwamba alfajiri imechomoza jangwani basi adhaana yake inafidisha yakini.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (10) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191426#219753
- Imechapishwa: 14/05/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket